Chai Maharage Kama Kawa Zenj

August 14, 2009

chai harage

gari aina ya Toyota Canter zinazobeba abiria huko Zanzibar inayofahamika zaidi kwa jina la chai maharage,ikiwa katika mingo zake za kila siku katika moja ya barabara za huko Zenj.


Taarifa Ya Mabadiliko Ya Kijiji

April 2, 2009

NDUGU WADAU WATEMBELEAJI WA BLOG YETU HII,KUTOKANA NA SABABU ZILIZO NJE YA UWEZO WANGU KATIKA KIJIJI HIKI,AMBAZO ZINANIFANYA NISHINDWE KUENDELEZA LIBENEKE KATIKA BLOG YETU HII NA KUNIFANYA NIRUDI TENA KWENYE BLOG YETU YA ZAMANI (othmanmichuzi.blogspot.com) AMBAYO NILIISIMAMISHA KWA MUDA KWA KUWA ILIKUWA KWENYE MATENGEZO NA SASA MATENGENEZO YAKE YAMESHAFIKIA TAMATI NA LIBENEKE LINAENDELEA KAMA KAWAIDA,HIVYO SINA BUDI KUWAREJESHA TENA KULE KWA ZAMANI KWANI SINA JINSI YA KUFANYA ZAIDI YA KUWARUDISHA KULE KWA ZAMANI ,HIVYO NAOMBENI RADHI SANA KWA USUMBUFU HUU ULIOJITOKEZA WADAU WANGU WATUKUFU.KWA HIYO KUANZIA LEO HII NA SIKU ZIENDELEZO HUKO MBELE KIJIJI HIKI MKIPENDACHO KITASIMAMA NA BADALA YAKE KIJIJI CHA ZAMANI KITACHUKUA NAFASI YAKE KAMA ILIVYOKUWA HAPO AWALI,HIVYO NAWAOMBENI WOOTE MNAOTEMBELEA KIJIJI HIKI KUENDELEA KUTEMBELEA KIJIJI CHETU KILE CHA ZAMANI YAANI NIKIMAANISHA othmanmichuzi.blogspot.com,NAWASHUKURUNI SANA TENA SANA KWA MCHAGO WENU NA NAOMBA TUENDELEE KUWA PAMOJA KAMA ILIVYOKUWA KATIKA MTAA HUU.

AHSANTENI SANA

-MICHUZIJR


Hasanali Apeleka Satolicious jijini Mwanza

March 31, 2009

hasanali

“SATOLICIOUs”
By MUSTAFA HASSANALI
 
In
 
 ROCK CITY MWANZA
 
Featuring:
 
Curtain Raiser by Mwanza Based Designer
CHRIS GEORGE
 
TOP models from DAR and MWANZA
 
DATE: 4 APRIL 2009
VENUE: NEW MWANZA HOTEL
TIME: 8.00P.M
DRESS CODE: STYLISH
TICKETS: VIP 20,000P/P
       Normal 10,000P/P
 
Tickets Available at NEW MWANZA HOTEL from 1 APRIL
For More Information CALL/TEXT 0784303880
Or EMAIL:
info@mustafahassanali.net 
  
SPONSORED BY:
ZAIN….Our Wonderful World,
COCA-COLA
and
 NYANZA ROAD WORKS LTD
 
NOTE: Thank you for your ALWAYS support in DISSEMINATION of Information. Stay in touch +255784303880


Hii Ndio Bongo Daslaam

March 30, 2009

bongokila kitu kiko vaisi vesa,yaani hadi raha


Pakingi

March 30, 2009

zingaHii ni staili mpya ya kupaki magari makubwa kwa pembezoni mwa barabara,hii kitu nimeinyaka jana mchana katika barabara ya Bagamoyo rodi.chini ni jinsi ionekanavyo kwa nyuma.zinga


Ni Madereva Wangapi Wanapitia Vyuoni Kujifunza Udereva?

March 29, 2009

michili ni moja ya magali ya kujifunzia udereva kwa daraja la leseni aina C,ambapo mafunzo yapatikanayo ndani ya ndinga hii ni pamoja na kuweza kuendesha magari yabebayo abiria na mengine.sasa swali langu ni kwa madereva waliowengi wanaoendesha magari yabebayo abiria,je madereva hao ni kweli wamepitia huku???


Washkaji

March 29, 2009

micLeo nilipata wasaha mwingine wa kukutana na washkaji wa kijiji cha jirani kinachokwenda kwa jina hili bofya hapa,nilipogongana nao pale maeneo ya kijitonyama katika kiota cha Chaga Bite,Toka (shoto) ni Charles,Mariam pamoja na Broo Young (jina lake la kwanza limenitoka sasa hivi,ngojeni nikumbuke halafu nitawatajia) na mwisho kabisa ni nanihii wa nanihii ya nanihii.


Boda La Wapi Hili??

March 29, 2009

micjibu ni kwa walio ndani na nje ya jiji na nchi pia.


Ingekuwa Vipi Kama Tungekuwa Tunarudia Zama Za Nyuma??

March 29, 2009

micmaana nipokutana na madogo hawa nilifikiria mengi sana kuhusiana na makuzi niliyokuwa nimepitia enzi hizooooo


Mbagala Siku Hizi Kama Mamtoni Vile

March 29, 2009

mic

micmic


Mbagala Sasa Mambo Poa

March 28, 2009

mbagala1

barabara ya Kilwa rodi a.k.a Mbagala rodi inavyoonekana leo hii,siku hizi kutoka Mbagala hadi mjini ni dakika kadhaa tu tofwauti na siku za awali ambapo ilikuwa ukitoka Mbagala saa 12 asubuhi basi utafika mjini saa 3 asubuhi.hii hali inapendeza kwa kweli.

picha na Mroki wa Mroki


Kp Leo

March 28, 2009

kp


Mbilinge Mbilinge La Ajari Ya Mh.Chenge

March 28, 2009

chenge1Kamanda wa Trafiki Dar es salaam,Afande Mohamed Mpinga (shoto) na Naibu Mkurugenzi wa upelelezi wa makosa ya jinai  Afande Peter Kivuyo (kati) na Mbunge wa Bariadi Mashariki Mh. Andrew Chenge wakielekea sehemu iliyotokea ajali ambapo gari alilokuwa akiendesha Mh. Chenge liligongana na Bajaji jana alfajiri na kusababisha vifo vya  abiria wawili wa Bajaji hiyo.chenge2Gari alilokuwa akiliendesha  Mh.Andrew Chenge,likiwa kituo cha Polisi Cha Osterbay.chenge3

Bajaji iliyogongana na gari la Mh. Chenge ikiwa katika kituo cha Polisi Osterbay
picha kutoka hapa na kwa habari kamili nenda hapa

 


Mwanza Yavamiwa na Mitindo Moto Moto Toka Kwa Mustafa Hassanali

March 28, 2009

Mwanza, Tanzania Second Largest City, The economic Hub of the Lake region will For the First Time be dazzled by glitz glamour and gallantry synonymous with the creation of Renowned Designer Mustafa Hassanali Who shall be showcasing his Art on 4 April 2009 at the NEW MWANZA HOTEL from 8.00P.M

Top Models from Dar es Salaam and Mwanza Shall not Only Parade Mustafa Hassanali Designs but also that of Mwanza OWN CHRIS DESIGNER… who shall be the Curtain Raiser.

Mustafa Says “Having done so many Shows in Dar es Salaam, Twice in Arusha and once in Zanzibar, it’s now the right time to launch my collection to the people Of Mwanza. It’s a step aimed at not only Promoting Fashion as a lifestyle trend in Tanzania but also Promoting Made in Tanzania Products”.

 Entry to The show is slated at Tsh 20,000 for VIP tickets and 10,000Tsh only for Normal Seats

The SATOLICIOUS Fashion Show in Mwanza is Proudly Sponsored By ZAIN….Our Wonderful World, Coca-Cola and Nyanza Road Works.

 


Rais Kikwete Apangua Safu Ya Wakuu Wa Wilaya Nchini Na Kupanga Nyingine Mpya

March 27, 2009

Rais Jakaya Kikwete ameteua Wakuu wa Wilaya 15 ,  7 wamestaafishwa na  54  wamehamishwa vituo, ili kuongeza chachu ya  uwajibikaji katika kusimamia na kuratibu mipango mbalimbali ya maendeleo na uchumi ili kutimiza malengo ya serikali. 

Kwa mujibu wa taarifa toka Ofisi ya Waziri Mkuu, Ma-DC wawili wamepangiwa kazi zingine na wawili wengine wamepangwa kufanya kazi katika jumuiya za chama tawala – CCM.

Walioteuliwa kwa mara ya kwanza ni  Ms Mercy Sila (Arumeru – Arusha), Mr Norman Sigalla (Hai – Kilimanjaro), Col Issa Njiku (Misenyi – Kagera), Ms Angelina Mabula (Karagwe – Kagera), Dr Rehema Nchimbi (Newala – Mtwara), Francis Isaac (Mbulu – Manyara), Lt Col Benedict K Kitenga (Rorya – Mara) na Lt Col Cosmas Kayombo (Mbarali – Mbeya). 

Wengine ni  Christopher Ryoba Kangoye (Kwimba – Mwanza), Queen Mashinga Mulozi (Ukerewe – Mwanza), Fatuma Mwassa (Mvomero – Morogo), Fatma Ally (Nanyumbu – Mtwara), Juma Solomon Madaha (Tunduru – Ruvuma), Anatory Choya (Kishapu – Shinyanga) na  Erasto Sima (Korogwe – Tanga). 

Ma-DC waliostaafu ni  Elias Marugu (Misenyi – Kagera), Deusdedit Mtambalike (Muleba – Kagera), David Holela (Babati – Manyara), Hawa Ngulume (Mbarali – Mbeya), Mashiba H Mashiba (Kyela – Mbeya), Col Peter Madaha (Nyamagana – Mwanza) na  Gilbert Dololo (Kibaha – Pwani).  

Ma-DC waliopangiwa kazi zingine ni  Patrick Tsere aliyekuwa  DC (Ilala – Dar es Salaam), na  Doreen Kisamo (Uyui – Tabora). Mr Martin Shigela ambaye alikuwa DC (Lindi – Lindi) sasa ni Katibu Mkuu wa UVCCM ambapo  Husna Mwilima (Hai – Kilimanjaro) sasa ni Katibu Mkuu wa UWT.

Waliobadilishwa vituo ni pamoja na Elias W. Lali kutoka Arusha – Arumeru kwenda  Ngorongoro, Evans Balama toka Arusha – Arusha kwenda  Ilala, Jowiko W Kasunga  kutoka Arusha – Ngorongoro kwenda Monduli, Col Fabian I Massawe toka  Dar es Salaam – Kinondoni kwenda  Muleba, Abdallah A Kihato toka Dar es Salaam –Temeke kwenda  Kyela.

Wengine ni Zainab Kwikwega toka  Dodoma – Bahi kwenda Kasulu, Dr Ian J. Langiboli toka Dodoma – Chamwino kwenda Babati, Capt Seif A. Mpembenwe toka  Dodoma – Kondoa kwenda Handeni, Halima Dendego toka Dodoma – Mpwapwa kwenda Kilosa, Lephy B Gembe toka Iringa – Makete hadi  Chamwino na  Elaston J. Mbwilo toka  Iringa – Iringa kwenda  Mtwara.

Wengine ni Darry I Rwegasira toka  Iringa – Njombe kwenda  Mpwapwa, Said M Mkumbo toka Kagera – Chato kwenda Temeke, Frank A Uhahula toka  Kagera – Karagwe kwenda  Tarime, Lt Col John Mzurikwao toka Kigoma – Kibondo kwenda  Mpanda, Saidi Bwanamdogo toka  Kigoma – Kasulu kwenda  Kondoa, Raymond H Mushi toka Kilimanjaro – Rombo kwenda  Arusha.

Wengine ni Jordan Rugimbana toka  Kilimanjaro – Mwanga hadi  Kinondoni, Rashid M Ndaile toka  Lindi – Nachingwea kwenda Chunya, Anna Magowa toka  Lindi – Liwale kwenda  Hanang, Elias Goroi toka Manyara – Mbulu kwenda  Nachingwea, Capt Geoffrey Ngatuni toka  Manyara – Hanang kwenda Musoma.

Walohamishwa wengine ni Saveli Maketta toka  Mara – Musoma hadi Namtumbo, Stanley Kolimba toka  Mara – Tarime kwenda  Uyui, Ms Miriam L Lugaila toka  Mbeya – Rungwe hadi  Misungwi, Halima Kihemba toka  Mbeya – Mbozi kwenda  Kibaha, Fatuma L Kimario toka  Mbeya – Chunya kwenda  Igunga. 

Wengine ni  Athuman H Mdoe toka  Morogoro – Kilosa kwenda  Mwanga, Hawa Ng’humbi toka Morogoro – Mvomero hadi  Makete, Gishuli M Charles toka  Mtwara – Mtwara kwenda  Njombe, Jackson W Msome kutoka  Mtwara – Newala kwenda  Rungwe, Capt Assary Geofrey Msangi toka  Mtwara – Nanyumbu kwenda  Iringa.

Wengine ni Samwel Kamote toka Mwanza – Ilemela hadi Bukoba, Danhi Makanga toka  Mwanza – Kwimba kwenda Kibondo, Magalula S Magalula toka  Mwanza – Misungwi hadi  Lindi, Paul Chiwile toka Mwanza – Ukerewe kwenda Liwale, Mathew K Nasei toka  Mwanza – Magu kwenda Muheza, Lt Col Serenge M.  Mrengo kutoka Pwani – Bagamoyo hadi  Ilemela, Ali N Rufunga toka  Pwani – Rufiji kwenda  Manyoni.

Wengine ni Major Bahati Matala toka  Rukwa – Sumbawanga kwenda Kahama, Thobias Mazanzala toka Rukwa – Mpanda kwenda Sumbawanga, Gabriel Kimolo toka  Ruvuma – Namtumbo kwenda  Mbozi, Peter Toima Kiroya toka  Ruvuma – Tunduru kwenda  Rombo, Amina Masenza toka  Ruvuma – Mbinga kwenda Shinyanga.

Waliohamishwa vituo wengine ni Khadija R R Nyembo toka  Shinyanga – Kishapu kwenda  Chato, Col (rtd) Edmund Mjengwa toka  Shinyanga – Shinyanga kwenda  Mbinga, Magesa Mulongo toka Shinyanga – Bukombe kwenda Bagamoyo, Florence A Horombe toka  Singida – Singida kwenda  Bukombe, Pascal Mabiti toka  Singida – Manyoni kwenda  Singida, Cleophas Rugarabamu toka  Tabora – Igunga kwenda Nyamagana.

Wengine ni Kassim Majaliwa Majaliwa toka Tabora – Urambo kwenda  Rufiji, Lt Winfrid F Ligubi toka Tanga – Handeni kwenda  Urambo, Elizabeth Mkwasa toka Tanga – Korogwe kwenda  Bahi na Zainab Kondo toka  Tanga – Muheza kwenda Magu.